25 Ilikuwa imesimama juu ya ng’ombe-dume kumi na wawili,+ watatu wakitazama kaskazini, na watatu wakitazama magharibi, na watatu wakitazama kusini, na watatu wakitazama mashariki; na hiyo bahari ilikuwa juu yao, na sehemu zao za nyuma zote zilielekea upande wa katikati.+