4 Ilikuwa imesimama juu ya ng’ombe-dume kumi na wawili,+ watatu wakitazama kaskazini na watatu wakitazama magharibi na watatu wakitazama kusini na watatu wakitazama mashariki; na bahari ilikuwa juu yao, na sehemu zao za nyuma zote zilielekea upande wa ndani.+