2 Wafalme 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zaidi ya hayo, Mfalme Ahazi akazikata vipandevipande kuta za pembeni za yale magari+ na kuondoa mabeseni yaliyokuwa juu yake,+ akaiondoa ile Bahari kutoka juu ya wale ng’ombe dume wa shaba+ na kuiweka kwenye sakafu ya mawe.+
17 Zaidi ya hayo, Mfalme Ahazi akazikata vipandevipande kuta za pembeni za yale magari+ na kuondoa mabeseni yaliyokuwa juu yake,+ akaiondoa ile Bahari kutoka juu ya wale ng’ombe dume wa shaba+ na kuiweka kwenye sakafu ya mawe.+