24 Zaidi ya hayo, Ahazi alikusanya vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli; akavikata vipandevipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango ya nyumba ya Yehova,+ na kujitengenezea madhabahu katika kila pembe ya Yerusalemu.
19 Na vyombo vyote ambavyo Mfalme Ahazi aliviondoa wakati wa utawala wake alipokosa kutenda kwa uaminifu,+ tumevitayarisha na kuvitakasa,+ navyo viko mbele ya madhabahu ya Yehova.”