27 Kisha akatengeneza magari kumi+ ya shaba. Kila gari lilikuwa na urefu wa mikono minne, upana wa mikono minne, na kimo cha mikono mitatu. 28 Na hivi ndivyo magari hayo yalivyotengenezwa: Yalikuwa na kuta za pembeni, na kuta hizo za pembeni zilikuwa kati ya mihimili.