16 Shaba yote iliyotumiwa kutengeneza zile nguzo mbili, ile Bahari, na yale magari ambayo Sulemani alitengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yehova, haingeweza kupimwa uzito.+
17 Pia Wakaldayo walivunja vipandevipande nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na magari+ na Bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, nao wakaipeleka shaba yote hiyo Babiloni.+