17 Nawe ukawa ukichukua vyombo vyako vyenye kupendeza kutoka katika dhahabu yangu na katika fedha yangu niliyokuwa nimekupa wewe+ nawe ukawa ukijifanyia mwenyewe sanamu za mwanamume+ na kufanya ukahaba nazo.+
13 Nami nitamtoza hesabu+ kwa ajili ya siku za sanamu za Baali+ alizokuwa akifukizia moshi,+ wakati alipokuwa akijipamba kwa pete yake na pambo+ lake na kuwafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ naye alinisahau+ mimi,’ asema Yehova.