Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+

      Miungu ambayo hawakuijua,+

      Mipya iliyokuja hivi karibuni,+

      Ambayo mababu zenu hawakuifahamu.

  • Ezekieli 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nawe ukawa ukichukua vyombo vyako vyenye kupendeza kutoka katika dhahabu yangu na katika fedha yangu niliyokuwa nimekupa wewe+ nawe ukawa ukijifanyia mwenyewe sanamu za mwanamume+ na kufanya ukahaba nazo.+

  • Hosea 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitamtoza hesabu+ kwa ajili ya siku za sanamu za Baali+ alizokuwa akifukizia moshi,+ wakati alipokuwa akijipamba kwa pete yake na pambo+ lake na kuwafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ naye alinisahau+ mimi,’ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki