Kutoka 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Haruni akawaambia: “Ng’oeni vipuli vya dhahabu+ vilivyo katika masikio ya wake zenu, ya wana wenu na ya binti zenu mniletee.” Yeremia 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kwa fedha na dhahabu mtu huzifanya zipendeze.+ Huzifunga kwa misumari na kwa nyundo, ili yoyote isiyumbe-yumbe.+
2 Basi Haruni akawaambia: “Ng’oeni vipuli vya dhahabu+ vilivyo katika masikio ya wake zenu, ya wana wenu na ya binti zenu mniletee.”
4 Na kwa fedha na dhahabu mtu huzifanya zipendeze.+ Huzifunga kwa misumari na kwa nyundo, ili yoyote isiyumbe-yumbe.+