Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi juu ya wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Ninyi mmewatawanya kondoo zangu; nanyi mliendelea kuwatawanya, nanyi hamkuwakazia fikira zenu.”+

      “Tazama, ninakaza fikira zangu juu yenu kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu,”+ asema Yehova.

  • Amosi 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ‘Mimi nimewajua ninyi peke yenu+ kati ya familia zote za nchi.+ Hiyo ndiyo sababu nitawatoza ninyi hesabu kwa sababu ya makosa yenu yote.+

  • Zekaria 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Hasira yangu imewaka juu ya wachungaji,+ nami nitawatoza hesabu+ viongozi walio kama mbuzi;+ kwa maana Yehova wa majeshi ameelekeza fikira zake kwa kundi lake,+ nyumba ya Yuda, naye amewafanya kama farasi+ wake mwenye heshima katika mapigano.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki