Ezekieli 34:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Aliyepotea nitamtafuta, na aliyefukuzwa nitamrudisha,+ na aliyevunjika nitamfunga na anayeugua nitamtia nguvu, lakini aliyenona+ na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”+ Ezekieli 34:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “ ‘Nanyi kondoo zangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo-dume na mbuzi-dume.+
16 “Aliyepotea nitamtafuta, na aliyefukuzwa nitamrudisha,+ na aliyevunjika nitamfunga na anayeugua nitamtia nguvu, lakini aliyenona+ na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”+
17 “ ‘Nanyi kondoo zangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo-dume na mbuzi-dume.+