16 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, ataendelea kupeleka ugonjwa unaodhoofisha juu ya watu wake wanono,+ na chini ya utukufu wake mteketezo utaendelea kuteketeza kama mteketezo wa moto.+
4“Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’