18 Mtakula nyama ya wenye nguvu, nanyi mtakunywa damu ya wakuu wa dunia,+ kondoo-dume, na wana-kondoo,+ na mbuzi-dume, ngombe-dume wachanga,+ vinono wote wa Bashani.+
16 Kwa maana, kama vile ng’ombe mkaidi, ndivyo Israeli amekuwa mkaidi.+ Je, ni wakati huu kwamba Yehova atawachunga kama vile mwana-kondoo dume katika mahali penye nafasi pana?