Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+

      Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,

      Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+

      Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+

      Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+

  • Zaburi 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ng’ombe-dume wengi wachanga wamenizingira;+

      Wale wenye nguvu wa Bashani wamenizunguka.+

  • Amosi 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki