Kumbukumbu la Torati 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+ Zaburi 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ng’ombe-dume wengi wachanga wamenizingira;+Wale wenye nguvu wa Bashani wamenizunguka.+ Amosi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’
14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+
4 “Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’