Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+

  • Ezekieli 39:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtakula nyama ya wenye nguvu, nanyi mtakunywa damu ya wakuu wa dunia,+ kondoo-dume, na wana-kondoo,+ na mbuzi-dume, ngombe-dume wachanga,+ vinono wote wa Bashani.+

  • Amosi 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Lisikieni neno hili, ninyi ng’ombe za Bashani,+ mlio juu ya mlima wa Samaria,+ mnaopunja watu wa hali ya chini,+ mnaoponda walio maskini, mnaowaambia mabwana zenu, ‘Leteni, tunywe!’

  • Mathayo 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Asubuhi ilipofika, wakuu wote wa makuhani na wanaume wazee wa watu wakashauriana juu ya Yesu ili auawe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki