26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
15 kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, mimi ninawafanya wao, yaani, watu hawa, kula pakanga,+ nami nitawafanya kunywa maji yaliyotiwa sumu;+