Yeremia 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa nini tunaketi tuli? Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome+ na tunyamaze humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu ametunyamazisha,+ naye anatupa sisi maji yaliyotiwa sumu tunywe,+ kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi. Maombolezo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ukumbuke mateso yangu na hali yangu ya kukosa makao,+ pakanga na mmea wenye sumu.+
14 “Kwa nini tunaketi tuli? Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome+ na tunyamaze humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu ametunyamazisha,+ naye anatupa sisi maji yaliyotiwa sumu tunywe,+ kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.