Yeremia 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, mimi ninawafanya wao, yaani, watu hawa, kula pakanga,+ nami nitawafanya kunywa maji yaliyotiwa sumu;+ Maombolezo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Amejenga juu yangu, ili anizunguke+ kwa mmea wenye sumu+ pamoja na magumu.
15 kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, mimi ninawafanya wao, yaani, watu hawa, kula pakanga,+ nami nitawafanya kunywa maji yaliyotiwa sumu;+