14 “Kwa nini tunaketi tuli? Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome+ na tunyamaze humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu ametunyamazisha,+ naye anatupa sisi maji yaliyotiwa sumu tunywe,+ kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.
15 kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, mimi ninawafanya wao, yaani, watu hawa, kula pakanga,+ nami nitawafanya kunywa maji yaliyotiwa sumu;+
15 Kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi juu ya manabii: “Tazama, ninawalisha pakanga, nami nitawapa maji yaliyotiwa sumu wanywe.+ Kwa maana kutoka kwa manabii wa Yerusalemu uasi-imani+ umeenea katika nchi yote.”