Yeremia 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi dhidi ya manabii hao: “Tazama, ninawafanya wale pakangaNa kuwapa maji yenye sumu wanywe.+ Kwa maana kutoka kwa manabii wa Yerusalemu uasi imani umeenea katika nchi yote.” Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:15 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 9
15 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi dhidi ya manabii hao: “Tazama, ninawafanya wale pakangaNa kuwapa maji yenye sumu wanywe.+ Kwa maana kutoka kwa manabii wa Yerusalemu uasi imani umeenea katika nchi yote.”