Yeremia 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa nini tunaketi hapa? Tukusanyikeni pamoja tuingie katika majiji yenye ngome+ na kuangamia humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu atatuangamiza,Naye anatupatia maji yenye sumu tunywe,+Kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.
14 “Kwa nini tunaketi hapa? Tukusanyikeni pamoja tuingie katika majiji yenye ngome+ na kuangamia humo. Kwa maana Yehova Mungu wetu atatuangamiza,Naye anatupatia maji yenye sumu tunywe,+Kwa sababu tumemtendea Yehova dhambi.