Mika 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Katika siku hiyo,” asema Yehova, “nitamkusanya yeye aliyekuwa akichechemea;+ naye aliyekuwa ametawanywa nitamkusanya pamoja,+ yeye ambaye nimemtendea vibaya. Mathayo 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Akajibu, akasema: “Sikutumwa kwa wowote ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.”+ Luka 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Ni nani kati yenu mwenye kondoo 100, anapopoteza mmoja wao, hatawaacha wale 99 nyikani na kwenda kumtafuta aliyepotea mpaka ampate?+
6 “Katika siku hiyo,” asema Yehova, “nitamkusanya yeye aliyekuwa akichechemea;+ naye aliyekuwa ametawanywa nitamkusanya pamoja,+ yeye ambaye nimemtendea vibaya.
4 “Ni nani kati yenu mwenye kondoo 100, anapopoteza mmoja wao, hatawaacha wale 99 nyikani na kwenda kumtafuta aliyepotea mpaka ampate?+