Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 147:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova anajenga Yerusalemu;+

      Huwakusanya pamoja waliotawanywa wa Israeli.+

  • Isaya 56:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ambaye anawakusanya waliotawanyika wa Israeli,+ ni hili: “Nitawakusanya pamoja kwake wengine mbali na wale walio wake ambao tayari wamekusanywa.”+

  • Ezekieli 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kulingana na utunzaji wa mtu anayelisha kundi+ lake katika siku ya kuja kwake kuwa katikati ya kondoo zake ambao wametawanyika kotekote,+ hivyo ndivyo nitakavyowatunza kondoo zangu; nami nitawakomboa kutoka mahali pote ambapo wametawanyika katika siku ya mawingu na giza zito.+

  • Ezekieli 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Nawe uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawachukua wana wa Israeli kutoka katikati ya mataifa ambako wameenda, nami nitawakusanya kutoka pande zote na kuwaleta katika nchi yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki