3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+
12 Naye hakika atainua ishara kwa ajili ya mataifa na kukusanya watu wa Israeli waliotawanywa;+ na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka miisho minne ya dunia.+
15 bali: “Kama anavyoishi Yehova aliyewaleta wana wa Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako alikuwa amewatawanya!” na hakika mimi nitawarudisha kwenye nchi yao, niliyowapa mababu zao.’+
3 “Nami nitakusanya mabaki ya kondoo zangu kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye uwanja wao wa malisho,+ na hakika wao watazaa na kuwa wengi.+
14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+