5 Yehova Mungu wako kwa kweli atakuleta katika nchi ambayo baba zako walimiliki, nawe utaimiliki; naye kwa kweli atakufanyia mema na kukuzidisha wewe kuliko baba zako.+
14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+