16 “Aliyepotea nitamtafuta, na aliyefukuzwa nitamrudisha,+ na aliyevunjika nitamfunga na anayeugua nitamtia nguvu, lakini aliyenona+ na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”+
19 Tazama, ninachukua hatua juu ya wote wanaokutesa, wakati huo;+ nami nitamwokoa yeye anayechechemea,+ na yeye ambaye ametawanywa nitamkusanya pamoja.+ Nami nitawaweka kuwa sifa na kuwa jina katika nchi yote ya aibu yao.