16 “Aliyepotea nitamtafuta, na aliyefukuzwa nitamrudisha,+ na aliyevunjika nitamfunga na anayeugua nitamtia nguvu, lakini aliyenona+ na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”+
6 “Katika siku hiyo,” asema Yehova, “nitamkusanya yeye aliyekuwa akichechemea;+ naye aliyekuwa ametawanywa nitamkusanya pamoja,+ yeye ambaye nimemtendea vibaya.