Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mimi nipo hapa, mimi mwenyewe, nami nitawatafuta kondoo zangu na kuwatunza.+

  • Mathayo 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mnaonaje? Mtu akiwa na kondoo 100 na mmoja apotee,+ je, hatawaacha wale 99 milimani na kuondoka kwenda kumtafuta yule anayepotea?+

  • Luka 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mwana wa binadamu alikuja kutafuta na kuokoa kilichopotea.”+

  • 1 Petro 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki