Ezekieli 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “ ‘Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mimi nipo hapa, mimi mwenyewe, nami nitawatafuta kondoo zangu na kuwatunza.+ Mathayo 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mnaonaje? Mtu akiwa na kondoo 100 na mmoja apotee,+ je, hatawaacha wale 99 milimani na kuondoka kwenda kumtafuta yule anayepotea?+ Luka 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mwana wa binadamu alikuja kutafuta na kuokoa kilichopotea.”+ 1 Petro 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.
11 “ ‘Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mimi nipo hapa, mimi mwenyewe, nami nitawatafuta kondoo zangu na kuwatunza.+
12 “Mnaonaje? Mtu akiwa na kondoo 100 na mmoja apotee,+ je, hatawaacha wale 99 milimani na kuondoka kwenda kumtafuta yule anayepotea?+
25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.