Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Aliyepotea nitamtafuta, na aliyefukuzwa nitamrudisha,+ na aliyevunjika nitamfunga na anayeugua nitamtia nguvu, lakini aliyenona+ na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”+

  • Mathayo 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya jambo hili, ‘Ninataka rehema, wala si dhabihu.’+ Kwa maana nilikuja kuwaita, si watu waadilifu, bali watenda-dhambi.”

  • Mathayo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 bali, badala ya hivyo, nendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.+

  • Luka 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Ni nani kati yenu mwenye kondoo 100, anapopoteza mmoja wao, hatawaacha wale 99 nyikani na kwenda kumtafuta aliyepotea mpaka ampate?+

  • Waroma 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Mungu hupendekeza upendo+ wake mwenyewe kwetu kwa kuwa, tulipokuwa tungali watenda-dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.+

  • 1 Timotheo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lile neno linastahili kukubaliwa kikamilifu, linalosema+ kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni ili kuwaokoa watenda-dhambi.+ Kati ya hao mimi ni wa kwanza kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki