Methali 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kutenda uadilifu na hukumu kunampendeza Yehova kuliko dhabihu.+ Hosea 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+ Mathayo 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, kama mngalielewa maana ya neno hili, ‘Ninataka rehema,+ wala si dhabihu,’+ msingaliwalaumu watu wasio na hatia.
6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+
7 Hata hivyo, kama mngalielewa maana ya neno hili, ‘Ninataka rehema,+ wala si dhabihu,’+ msingaliwalaumu watu wasio na hatia.