6 Nitamkaribia Yehova na nini?+ Nitajiinamisha na nini kwa Mungu aliye juu?+ Je, nimkaribie na matoleo mazima ya kuteketezwa,+ na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?
13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya jambo hili, ‘Ninataka rehema, wala si dhabihu.’+ Kwa maana nilikuja kuwaita, si watu waadilifu, bali watenda-dhambi.”