Zaburi 50:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ningalikuwa na njaa, singalikuambia;Kwa maana nchi yenye kuzaa+ na vyote vinavyoijaza ni vyangu.+ Matendo 17:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 wala hatumikiwi kwa mikono ya binadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe huwapa watu wote uhai+ na pumzi+ na vitu vyote.
25 wala hatumikiwi kwa mikono ya binadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe huwapa watu wote uhai+ na pumzi+ na vitu vyote.