Mika 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitakuja mbele za Yehova nikiwa na nini? Nitainama mbele za Mungu aliye juu nikiwa na nini? Je, nitakuja mbele zake nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa,Nikiwa na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?+
6 Nitakuja mbele za Yehova nikiwa na nini? Nitainama mbele za Mungu aliye juu nikiwa na nini? Je, nitakuja mbele zake nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa,Nikiwa na ndama wenye umri wa mwaka mmoja?+