1 Samweli 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa zaidi na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyinginezo+ kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo dume; Zaburi 51:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hutaki dhabihu—la sivyo ningeitoa;+Hupendezwi na dhabihu nzima ya kuteketezwa.+ 17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+ Isaya 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova. “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+
22 Ndipo Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa zaidi na dhabihu za kuteketezwa na dhabihu nyinginezo+ kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo dume;
16 Kwa maana hutaki dhabihu—la sivyo ningeitoa;+Hupendezwi na dhabihu nzima ya kuteketezwa.+ 17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+
11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova. “Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa za kondoo dume+ na mafuta ya wanyama waliolishwa vizuri,+Nami sipendezwi na damu+ ya ng’ombe dume wachanga+ na wanakondoo na mbuzi.+