Zaburi 80:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+ Isaya 56:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ambaye anawakusanya waliotawanyika wa Israeli,+ ni hili: “Nitawakusanya pamoja kwake wengine mbali na wale walio wake ambao tayari wamekusanywa.”+
80 Ee Mchungaji wa Israeli, tega sikio,+Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi.+Wewe unayeketi juu ya makerubi,+ uangaze.+
8 Neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ambaye anawakusanya waliotawanyika wa Israeli,+ ni hili: “Nitawakusanya pamoja kwake wengine mbali na wale walio wake ambao tayari wamekusanywa.”+