11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+
10 Sikieni neno la Yehova, enyi mataifa, na kulitangaza kati ya visiwa vilivyo mbali,+ na kusema: “Yeye anayemtawanya Israeli atamkusanya pamoja,+ na hakika yeye atamweka kama mchungaji anavyoliweka kundi lake.+
12 Kulingana na utunzaji wa mtu anayelisha kundi+ lake katika siku ya kuja kwake kuwa katikati ya kondoo zake ambao wametawanyika kotekote,+ hivyo ndivyo nitakavyowatunza kondoo zangu; nami nitawakomboa kutoka mahali pote ambapo wametawanyika katika siku ya mawingu na giza zito.+