Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 77:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Umewaongoza watu wako kama kundi,+

      Kwa mkono wa Musa na Haruni.+

  • Isaya 40:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+

  • Yeremia 31:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sikieni neno la Yehova, enyi mataifa, na kulitangaza kati ya visiwa vilivyo mbali,+ na kusema: “Yeye anayemtawanya Israeli atamkusanya pamoja,+ na hakika yeye atamweka kama mchungaji anavyoliweka kundi lake.+

  • Ezekieli 34:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kulingana na utunzaji wa mtu anayelisha kundi+ lake katika siku ya kuja kwake kuwa katikati ya kondoo zake ambao wametawanyika kotekote,+ hivyo ndivyo nitakavyowatunza kondoo zangu; nami nitawakomboa kutoka mahali pote ambapo wametawanyika katika siku ya mawingu na giza zito.+

  • 1 Petro 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki