34 Nami nitawatoa kati ya vikundi vya watu, nami nitawakusanya pamoja kutoka katika nchi ambako mmetawanywa kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.+
12 “ ‘Hakika nitamkusanya Yakobo, ninyi nyote;+ bila shaka nitawakusanya pamoja wanaobaki wa Israeli.+ Nitawaunganisha, kama kundi zizini, kama kundi la wanyama katikati ya malisho yake;+ huko kutakuwa na kelele za wanadamu.’+