Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ikiwa watu wako waliotawanywa watakuwa kwenye mwisho wa mbingu, kutoka huko Yehova Mungu wako atakukusanya na kutoka huko atakuchukua.+

  • Ezekieli 20:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nami nitawatoa kati ya vikundi vya watu, nami nitawakusanya pamoja kutoka katika nchi ambako mmetawanywa kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.+

  • Mika 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Hakika nitamkusanya Yakobo, ninyi nyote;+ bila shaka nitawakusanya pamoja wanaobaki wa Israeli.+ Nitawaunganisha, kama kundi zizini, kama kundi la wanyama katikati ya malisho yake;+ huko kutakuwa na kelele za wanadamu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki