13 Na itatukia katika siku ile kwamba baragumu kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanyika katika nchi ya Misri+ hakika watakuja na kumwinamia+ Yehova kwenye mlima mtakatifu katika Yerusalemu.+
16 “Aliyepotea nitamtafuta, na aliyefukuzwa nitamrudisha,+ na aliyevunjika nitamfunga na anayeugua nitamtia nguvu, lakini aliyenona+ na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”+
9 ‘Kwa maana, tazama! Ninaamuru, nami nitaipepeta nyumba ya Israeli katika mataifa yote,+ kama vile mtu anavyopepeta kichujio, lisianguke chini jiwe la mviringo hata moja.