12 Naye hakika atainua ishara kwa ajili ya mataifa na kukusanya watu wa Israeli waliotawanywa;+ na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka miisho minne ya dunia.+
22 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama! Nitayainulia mataifa mkono wangu,+ nami nitaviinulia vikundi vya watu ishara yangu.+ Nao wataleta watoto wako katika kifua, nao watawabeba binti zako juu ya bega.+
10 Tokeni nje, tokeni nje kupitia malango. Fungueni njia ya watu.+ Fanyeni matuta, fanyeni matuta kwa ajili ya njia kuu. Ondoeni mawe juu yake.+ Inueni ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+