11 Na itatukia katika siku hiyo kwamba Yehova atatoa tena mkono wake, mara ya pili,+ ili kuchukua mabaki ya watu wake watakaobaki kutoka Ashuru+ na kutoka Misri+ na kutoka Pathrosi+ na kutoka Kushi+ na kutoka Elamu+ na kutoka Shinari+ na kutoka Hamathi na kutoka visiwa vya bahari.+
8 Tazama, ninawaleta kutoka katika nchi ya kaskazini,+ nami nitawakusanya kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Kati yao patakuwa na vipofu na vilema, mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja.+ Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+
6 “Katika siku hiyo,” asema Yehova, “nitamkusanya yeye aliyekuwa akichechemea;+ naye aliyekuwa ametawanywa nitamkusanya pamoja,+ yeye ambaye nimemtendea vibaya.