16 Nami nitawafanya vipofu watembee katika njia ambayo hawakuijua;+ nitawafanya wakanyage katika barabara ambayo hawakuijua.+ Nitabadili mahali penye giza mbele yao pawe nuru,+ na nchi ya mawemawe iwe nchi tambarare.+ Hayo ndiyo mambo ambayo nitafanya kwa ajili yao, nami sitawaacha.”+