12 Kulingana na utunzaji wa mtu anayelisha kundi+ lake katika siku ya kuja kwake kuwa katikati ya kondoo zake ambao wametawanyika kotekote,+ hivyo ndivyo nitakavyowatunza kondoo zangu; nami nitawakomboa kutoka mahali pote ambapo wametawanyika katika siku ya mawingu na giza zito.+