Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 56:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wao ni mbwa wenye nguvu katika tamaa ya nafsi;+ hawakujua kushiba hata kidogo.+ Wao pia ni wachungaji ambao hawakujua jinsi ya kuelewa.+ Wote wameiendea njia yao wenyewe, kila mmoja kwa mapato yake yasiyo ya haki kutoka katika mpaka wake mwenyewe:+

  • Yeremia 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana wachungaji wamejiendesha bila kutumia akili,+ wala hawakumtafuta Yehova.+ Ndiyo sababu hawakutenda kwa ufahamu, na wanyama wao wote waliolishwa wametawanywa.”+

  • Ezekieli 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama niko dhidi ya wachungaji,+ na hakika mimi nitadai kondoo zangu kutoka mkononi mwao na kuwafanya waache kuwalisha kondoo zangu,+ nao wachungaji hawatajilisha tena kamwe;+ nami nitawakomboa kondoo zangu kutoka kinywani mwao, nao hawatakuwa chakula chao.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki