10 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko dhidi ya wachungaji, nami nitafanya wawajibike kwa sababu ya kondoo wangu, nami nitawafukuza ili wasiwalishe kondoo wangu,+ nao wachungaji hawatajilisha tena. Nitawaokoa kondoo wangu kutoka kinywani mwao, nao hawatakuwa chakula chao tena.’”