Yeremia 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!”+ asema Yehova. Ezekieli 34:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao wakatawanyika hatua kwa hatua kwa sababu hapakuwa na mchungaji,+ hivi kwamba wakawa chakula cha kila mnyama wa mwituni, nao wakaendelea kutawanyika.+
5 Nao wakatawanyika hatua kwa hatua kwa sababu hapakuwa na mchungaji,+ hivi kwamba wakawa chakula cha kila mnyama wa mwituni, nao wakaendelea kutawanyika.+