Isaya 56:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ninyi nyote wanyama wa mwituni, njooni mle, ninyi nyote wanyama-mwitu walio msituni.+ Yeremia 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!”+ asema Yehova.