8 “ ‘Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “ ‘Kwa sababu ninyi mmesema mambo yasiyo ya kweli na kuona uwongo, kwa hiyo tazama mimi niko dhidi yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
3 “Hasira yangu imewaka juu ya wachungaji,+ nami nitawatoza hesabu+ viongozi walio kama mbuzi;+ kwa maana Yehova wa majeshi ameelekeza fikira zake kwa kundi lake,+ nyumba ya Yuda, naye amewafanya kama farasi+ wake mwenye heshima katika mapigano.