31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+
10 Wachungaji+ wengi wameliharibu shamba langu la mizabibu;+ wamelikanyaga fungu langu.+ Fungu langu linalotamanika+ wameligeuza kuwa nyika ya mahame yenye ukiwa.