2 Wafalme 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mara moja akasema: “Wakamateni wakiwa hai!”+ Kwa hiyo wakawakamata wakiwa hai, wakawachinja kando ya tangi la maji la ile nyumba ya kufungia, watu 42, naye hakumwacha hata mmoja wao abaki.+
14 Mara moja akasema: “Wakamateni wakiwa hai!”+ Kwa hiyo wakawakamata wakiwa hai, wakawachinja kando ya tangi la maji la ile nyumba ya kufungia, watu 42, naye hakumwacha hata mmoja wao abaki.+