2 Wafalme 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mara moja akasema: “Wakamateni wakiwa hai!” Basi wakawakamata wanaume 42 wakiwa hai na kuwachinja kando ya tangi la maji la nyumba ya kuwakatia kondoo manyoya. Hakumwacha yeyote kati yao akiwa hai.+
14 Mara moja akasema: “Wakamateni wakiwa hai!” Basi wakawakamata wanaume 42 wakiwa hai na kuwachinja kando ya tangi la maji la nyumba ya kuwakatia kondoo manyoya. Hakumwacha yeyote kati yao akiwa hai.+