2 Mambo ya Nyakati 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akarudi Yezreeli+ ili apone majeraha aliyopata kule Rama alipopigana na Mfalme Hazaeli wa Siria.+ Ahazia* mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda alishuka kwenda Yezreeli kumwona Yehoramu+ mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.*+
6 Akarudi Yezreeli+ ili apone majeraha aliyopata kule Rama alipopigana na Mfalme Hazaeli wa Siria.+ Ahazia* mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda alishuka kwenda Yezreeli kumwona Yehoramu+ mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.*+